Home KCPE 2022 Kiswahili Questions Analysis

KCPE 2022 Kiswahili Questions Analysis

(A) KISWAHILI-LUGHA.

1.Ngeli-70%

2.Vianishi-20%

  • Ngeli ni kama:
  • *Kukanusha
  • *Kukanusha
  • *Viashiria visisitizi
  • *Vimilikishi
  • *Vivumishi vya pekee
  • *a-unganifu(kutegemea ngeli)
  • Wianishi ni kama:
  • *Matumizi ya” kwa”
  • *Matumizi ya “ki”
  • *Matumizi ya “ji”
  • *Sauti ghuna-nzito kutamka.
  • *Sauti sighuna-nyepesi kutamka.

3.Msamiati-10%

kama;

  • *Visawe-“Maana sawa”
  • *Vitawe-“maana zaidi ya moja.
  • *Vitate-“matamshi sawa na maana tofauti.
  • *Majina ya makundi.
  • *Msamiati ya sehemu mbalimbali.
  • *Majina ya ukoo.

ILANI-Maswali ya uelemavu yameondolewa

Swali 1-15-kujaza pengo.

Swali 16-26-Msamiati

Ufahamu wa kwanza-ni hadithi ya ubinifu.

Ufahama wa pili-iwe mambo ya ukweli (mambo ipuka kama magonjwa/Dawa za kulevya nk.

INSHA-katika KCPE.

  • *Methali
  • *Barua
  • *Mwanzo na kimalizio
  • *Mjadala
  • *Maelezo(kama upora ya wamyama/misitu)

Insha huru hutolewa Mara nyingi katika KCPE, mwanzo au kimalizio.

Barua ikitolewa-Mwanafunzi lazima afuate mtindo unaofaa.

{Mwanafunzi ana huru wa kuandika kichwa na ni LAZIMA kiambatane na taarifa}

Read also:

KCPE 2022 Tips and Common Mistakes Committed by Candidates

KCPE 2022 Mathematics Questions Analysis

KCPE 2022 Science Questions Analysis